
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI β
Taarifa inatolewa kwa vyombo vya habari kuwa Kamati Kuu ya Chama itakutana kwa siku mbili, kuanzia Oktoba 22-23, mwaka huu, katika kikao chake cha kawaida.
Kikao hicho kitakachofanyika jijini Dar es Salaam, pamoja na agenda mbalimbali, kitapokea na kujadili kwa kina taarifa ya hali ya siasa nchini na mwelekeo wa nchi kwa ujumla kiuchumi na kijamii.
Aidha, Kamati Kuu pia itapokea na kujadili taarifa ya fedha na Mpango wa Uchaguzi wa Kanda 10 za Chama, kabla ya Sekretarieti kuanza utekelezaji, ambao utahusisha kuwa na shughuli za chama, kisiasa na kiutendaji, ikiwa ni pamoja na kuendelea kuwatumikia wananchi, operesheni za uimarishaji wa chama nchi nzima na kuendelea kutoa elimu ya uraia.
Imetolewa leo Ijumaa, Oktoba 21, 2016 na;
Tumaini Makene Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: