
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC)
imeibana Wizara ya Fedha na Mipango juu ya kutumia zaidi ya Sh. bilioni
48 zilizotengwa kusaidia wafanyabiashara walioathirika na mdororo wa
uchumi uliotokea mwaka 2007/8.
Wizara hiyo ilitoa fedha hizo ikiwa ni sehemu ya mpango wake wa
kuwainua wafanyabiashara walioathiriwa na hali hiyo, lakini hadi sasa
bado haijulikani ni kampuni zipi zilipewa na shughuli zilizofanyika.
Katika kikao chake cha jana kilichofanyika bungeni mjini hapa, kamati
hiyo wakati ikipitia ukaguzi fungu namba 21 linalohusu Hazina, ilimbana
Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo upande wa huduma za fedha, Doroth
Mwanyika na kumtaka kueleza fedha hizo zilikokwenda.
Mbunge wa Vwawa (CCM), Japhet Hasunga, alisema mwaka huo kulikuwa na
mdororo mkubwa wa uchumi na nchi zingine zilichukua hatua mbalimbali za
kupambana na hali hiyo na Tanzania iliamua kupambana kwa kutumia zaidi
ya Sh. bilioni 48 kukuza uchumi.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: