
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Tasnia ya michezo na siasa nchini imepata pigo baada ya hii leo aliyekuwa ,Kocha,Mbunge,Waziri wa Michezo na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Joel Bendera kufariki dunia.
Bendera ambaye atakumbukwa kwa wengi hasa wadau wa michezo nchini kwa kuiwezesha timu ya taifa Taifa Stars kufuzu kwa mara ya kwanza na mwisho michuano ya kombe la Afrika mwaka 1980 nchini Nigeria,amefikwa na mauti hii leo wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.
Aidha katika medani za siasa nchini,Mzee Bendera atakumbukwa na wengi kwa kuwa miongoni mwa waliounda maraza la mawizi katika serikali ya awamu ya nne,akiwa kama waziri a habari na michezo.
Pia ,Bendera alipata bahati ya kulitumikia taifa katika nafasi ya Ukuu wa mkoa,ambapo mara ya mwisho alikuwa mkuu wa mkoa wa Manyara,kabla ya hivi karibuni kuwekwa kando na Rais Magufuli katika teuzi alizozifanya .
Post A Comment: