
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, hivi sasa yupo Uganda na atakaporejea tu kuungana na wenzake, basi atatua na familia yake.
Okwi aliondoka nchini wiki iliyopita baada ya wachezaji wa timu hiyo kupewa mapumziko mafupi ambapo wakati anaondoka alikuwa akisumbuliwa kifundo cha mguu.
Okwi alisema yupo kwao Uganda lakini bado anaendelea na matibabu ya kifundo cha mguu ambapo atakapopona, atarejea nchini akiwa na familia yake.
“Nipo huku naendelea na matibabu yangu ya kifundo cha mguu baada ya kuumia hivi karibuni na kunifanya nikose baadhi ya michezo ya ligi kuu.
“Niliondoka huko baada ya wachezaji wote kupewa mapumziko, lakini nimepanga nikirejea basi nitakuja na familia yangu ambayo awali niliiacha huku Uganda kwa sababu hivi sasa nataka niwe nayo karibu,” alisema Okwi ambaye ana mke na watoto wawili.
Post A Comment: