
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Serikali imesema kuwa tozo iliyowekwa kwenye Daraja la Kigamboni itaendela kuwepo kwa kuwa imefuata utaratibu wa kisheria na kanuni.
Kauli hiyo imetolewa jana Novemba 15, 2017 Bungeni mjini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sera, Bunge, Ajira, Kazi, Vijana na Ulemavu, Jenista Mhagama baada ya Mbunge Zainabu Ndolwa kuhoji jambo hilo,
"Je ni lini serikali itasitisha tozo za daraja la Kigamboni ili liweze kutumika kama madaraja mengine Ruvu na Wami?
βDaraja la kigamboni limejengwa na mfuko wa jamii wa NSSF ni kivuko ambacho kinachofanya kazi kama vivuko vingine tulivyo navyo nchini na vivuko vingine pia vimeweka mfumo wa utozaji wa Tozo kidogo ili kuhakikisha kwamba vivuko vile vinaendela kulindwa na kukarabatiwa ili kuendelea kufanya kazi kwahiyo nisema kwamba Tozo iliyowekwa katika Daraja la Kigamboni imefuata utaratibu wa Kisheria na Kikanuni na hivyo itaendelea kuwepo,β amesema Jenista.
Post A Comment: