
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kama bado unaamini kuwa Hamisa Mobeto anamtumia mtoto wake kujiweka karibu na Diamond, ujumbe huu unakuhusu.
Hamisa amewashangaa watu wanaodai kuwa anamtumia mtoto wake na kudai kuwa hana sababu ya kufanya hivyo.
Mrembo huyo amesema kuwa hakuna kipya anachokiona kwa Diamond kwa sasa kwani amekuwa naye kwa miaka tisa.
"Sioni kipya wala cha ajabu mtu nimeshakuwa naye kwa miaka tisa, iweje leo niambiwe namtumia mtoto,"
Kuhusu utata wa jina la mtoto wake Hamisa amesema akiwa na ujauzito yeye na Diamond walikubaliana wamuite mtoto huyo Abdul Latif.
"Alitaka aitwe hivyo ili lifanane na mwane Latifa, lakini baadaye akasema aitwe Daylan ili liendane na Nillan.
"Kuna wakati alikataa ujauzito hadharani nami nikaamua mwanangu aitwe Abdulnaseeb ila kwa sasa nimekubali anaitwa Dylan Abdul Naseeb," amesema
Post A Comment: