
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
STRAIKA wa Mwadui FC Hassan Kabunda, muda wowote atasaini mkataba wa kuichezea Simba na kinachosubiriwa ni klabu hizo mbili zimalizane, akaanze maisha mapya.
Simba itamsajili mchezaji huyo mara tu mazungumzo yatakapokamilika na Mwadui kumruhusu, kwa sababu bado ni mchezaji wao na wana mkataba naye.
"Siwezi kukataa ofa ya timu yoyote kama naona inalipa, mpira ndio kazi yangu kwahiyo kama Simba wananihitaji waje tuzungumze," alisema Kabunda anayeichezea Mwadui kwa msimu wa tatu sasa.
Hata hivyo, mchezaji huyo alisema, ili awe na amani Simba anataka kucheza kwa malengo na kuwa tegemeo kikosi cha Kwanza na pia, imboreshee maslahi, yawe mazuri zaidi ya anayoyapata Mwadui.
"Kwa sasa mpira ni kazi, kwahiyo hata dau kubwa ni kishawishi cha mchezaji kutoka timu moja kwenda nyingine ila kwangu nahitaji sehemu nitakayokwenda niwe na uhakika wa namba," alisema Kabunda.
Post A Comment: