
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
KLABU ya Azam FC, imemsajili mshambuliaji, Benard Athur kutoka klabu ya Liberty Professionals ya nchini Chana.
Azam inadaiwa kumsajili mchezaji huyo kwa mkataba wa miaka miwili na amechukua nafasi ya aliyekuwa mshambuliaji wao, Mghana Yahya Mohamed aliyevunjiwa mkataba kwa makubaliano maalumu.
Hata hivyo, licha ya picha inayomwonyesha mchezaji huyo akikabiziwa jezi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Azam, Abdul Mohamed, Afisa habari wa klabu hiyo, Jaffar Idd Maganga hakutaka kuweka wazi na amesisitiza, taarifa kamili itatolewa kesho.
Huo ni usajili wa kwanza kwa Azam , waliofufanya katika dirisha dogo lililofunguliwa Novemba 15 na linatarajiwa kumalizika, Desemba 15.
Post A Comment: