
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Rais John Magufuli amefichua kuwa anapokea mshahara wa kila mwezi wa shilingi milioni 9 za Tanzania.
Hii ni robo ya mshahara ambao mtangulizi wake Jakaya Mrisho Kikwete alikuwa akipokea iwapo takwimu zilizonakiliwa na Afrika Review miaka mitatu iliopita ni za kweli.
Rais Magufuli alifichua hayo katika taarifa ya moja kwa moja katika runinga mapema leo Jumanne katika hotuba kwa muungano wa serikali za mitaani wakati ambapo alikuwa akikisisitiza kuhusu umuhimu kwa kukabiliana na rushwa.
''Baadhi ya wanachama wa bodi za mashirika ya uma walikuwa wakisafiri hadi Dubai kufanya mikutano yao huko ili wajilipe marupuru mengi.Hivi sasa hawataki kile serikali yangu inachofanya''.
Credit - BBC
Post A Comment: