
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Nahodha wa Azam FC, Himid Mao amewahakikishia mashabiki wa kikosi chake maarufu kama Wanalambalamba akisema, Simba watakayocheza nayo leo Jumamosi, haitaondoka na pointi hata moja kwenye uwanja wao wa Chamazi.
Himid ambaye ni miongoni mwa wachezaji waandamizi kikosi hapo alisema, ndani ya miaka sita ambayo wameutumia Uwanja wao wa nyumbani wa Azam Complex, wamepoteza mechi nne tu.
βHatuna rekodi ya kupoteza mechi katika uwanja wetu ndiyo maana tulikuwa tunaomba kwa nguvu waturuhusu kuutumia kwa mechi hizo za Simba na Yanga,β alisema Himid mtoto wa kiungo wa zamani wa Pamba, Mtibwa pamoja na Taifa Stars.
Katika mechi hizo nne ambazo Azam walifungwa katika uwanja wao ni walipocheza na JKT Ruvu, Mtibwa Sugar, African Lyon na Kagera Sugar .
Post A Comment: