
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Shirika la ugavi wa umeme nchini TANESCO limesema litafanya kazi
usiku na mchana kuhakikisha linarejesha hali ya upatikanaji wa umeme kwa
baadhi ya maeneo jijini ambayo yamekumbwa na adha ya kukatika kwa umeme
kutokana na kuharibika kwa Tranfoma 15mva iliyokuwa ikitoa huduma kwa
wakazi wa wilaya ya Ilala.
Kauli hiyo ya kuwatoa hofu wananchi imetolewa na meneja wa TANESCO
mkoa wa Ilala Mhandisi Atanasius Nangali wakati akiongea
jijin Dar es Salaam ambapo amesema kukatika kwa umemem hivi
karibuni katika baadhi ya maeneo kumetokana na hitilafu iliyotokea
kwenye moja ya Tranfoma zinazo sambaza umeme huo ambapo wamefanya
jithada ya kuwapatia umeme baadhi ya maeneo yalioathirika kutoka
substation nyingine huku yakibaki maeneo matatu yamwanagati, Magole na
baadhi ya maeneo ya kitunda.
Kutokana na kuongezeka kwa matumizi ya umeme hasa katika kipindi
cha sikukuu kaimu meneja uhusiano TANESCO Bi,Leila Muhija
amewahakikishia wananchi upatikanaji wa umeme wa uhakika katika sikukuu
pamoja na kuwataka wananchi kutosita kutoa taarifa za dharura ama
hitilafu zinapojitokeza wakati wowote ili waweze kupata msaada wa
haraka.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: