
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MSHAMBULIAJI wa Simba Laudit Mavugo, amesema bado ana matumaini ya
kufanya vizuri kwenye mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara, licha
ya mashabiki kuonekana kukata tamaa naye.
Mashabiki wa Simba wamembadilikia mchezaji huyo na kuanza kumzomea
kutokana na mchango mdogo anaoutoa kwa timu yao, jambo ambalo amesema
linamfanya acheze kwa presha kubwa.
Mavugo alisema siku zote amekuwa
akipambana kwa ajili ya kurudi kwenye kiwango chake, lakini anashangazwa
na kinachoendelea kumtokea na kushindwa kuipa mafanikio Simba
aliyojiunga nayo msimu huu akitokea Vital’O ya Burundi.
“Najua mashabiki wa Simba wanategemea mambo makubwa kutoka kwangu,
nalifahamu hilo, lakini mambo yamekuwa tofauti na vile ninavyopanga.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: