
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
MWANASIASA Mkongwe nchini, Kingunge
Ngombale-Mwiru, amesema bila ya kuwapo na Katiba mpya ni vigumu kwa
vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na vingine vya
upinzani nchini kuingia Ikulu.
Aidha, Kingunge aliyewahi kuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa
miaka mingi na sasa kuonekana akiunga mkono misimamo inayoashiria
mabadiliko, alisema wapinzani wasipopambana kuhakikisha katiba inaruhusu
matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani, ugumu huo wa kutimiza ndoto ya
kuingia Ikulu utaendelea kuwapo katika kila uchaguzi.
Ukawa huundwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chama cha Wananchi (CUF), NCCR-Mageuzi na NLD.
Kingunge aliyasema hayo jana wakati akizungumza katika mkutano na
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Edward Lowassa, aliyekutana na wafuasi
wa Chadema waliokuwa wanashikiliwa na Polisi kwa makosa mbalimbali ya
uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Baadhi ya wafuasi hao ni wale wa kundi la ‘4U Movement’ na wengine
waliokuwa wakikusanya matokeo ya uchaguzi ya mgombea wa Ukawa.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: