
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Watu
sita wamefariki dunia na wengine wanne kujeruhiwa baada ya magari
mawili kugongana uso kwa uso eneo la Kanegere, Kata ya Bukandwe, Wilaya
ya Mbogwe mkoani Geita.
Ajali hiyo imetokea jana saa 9.30 alasiri.
Habari
zilizopatikana usiku huu, zinadai kuwa miongoni mwa watu waliofariki ni
Padri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Kahama ambaye aliwabeba abiria
wanaosemekana ni waumini wa kanisa hilo ambao baadhi yao pia wamefariki
dunia.
Kaimu Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe, Salum Ndimu amekiri kupokea maiti wanne na majeruhi wanane.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: