
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Serikali imepiga marufuku viwanda kuzalisha mifuko ya platiki kuanzia Januari mwakani.
Akizungumza
na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira mjini
hapa jana, Kaimu Mkurugenzi wa Mazingira, Richard Muyungi amesema
wanachosema wabunge hakina tofauti na kilichoandikwa kwenye kanuni
zinazoandaliwa na Serikali kwa ajili ya utekelezaji wa uamuzi huo.
βSisi
katika kanuni zetu tumewapa miaka miwili ya kubadilisha teknolojia hiyo
kwenda katika uzalishaji wa mifuko inayooza ili kuepuka athari za
mazingira,β amesema Muyungi.
Amesema mwaka 2013 walisitisha kusajili viwanda vya kuzalisha mifuko ya plastiki ili kukabiliana na uharibifu wa mazingira.
Kuhusu
viwanda vyenye malighafi ya kutengenezea mifuko hiyo, mwanasheria
katika ofisi hiyo, Isakwisa Mwamukonda amesema kanuni hizo zinawapa
nafasi wawekezaji kuzalisha mifuko hiyo hadi zitakapomalizika, lakini
hawataruhusiwa kuiuza hapa nchini.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: