Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora), Ruth Mollel ameikosoa Serikali akidai imekithiri kwa ukiukwaji wa sheria za utumishi.


Katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari jana, Mollel ambaye ni Mbunge wa Viti Maalumu kwa tiketi ya Chadema, amesema ameshuhudia ukiukwaji mkubwa wa Sheria ya Utumishi wa Umma ya Mwaka 2002 kuhusu suala la nidhamu kwa watumishi tangu Serikali inayoongozwa na Rais John Magufuli iingie madarakani.  

“Tumeshuhudia baadhi ya viongozi wa kisiasa kama mawaziri, naibu mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya wakiwawajibisha watumishi ilhali hawana mamlaka hayo kisheria,” amesema.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: