
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Msemaji
Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katika Ofisi ya Rais (Utumishi
na Utawala Bora), Ruth Mollel ameikosoa Serikali akidai imekithiri kwa
ukiukwaji wa sheria za utumishi.
Katika
taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari jana, Mollel ambaye ni
Mbunge wa Viti Maalumu kwa tiketi ya Chadema, amesema ameshuhudia
ukiukwaji mkubwa wa Sheria ya Utumishi wa Umma ya Mwaka 2002 kuhusu
suala la nidhamu kwa watumishi tangu Serikali inayoongozwa na Rais John
Magufuli iingie madarakani.
“Tumeshuhudia
baadhi ya viongozi wa kisiasa kama mawaziri, naibu mawaziri, wakuu wa
mikoa, wakuu wa wilaya wakiwawajibisha watumishi ilhali hawana mamlaka
hayo kisheria,” amesema.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: