
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Pamoja
na kuibuka na kushikilia msimamo kuwa anapinga suala la klabu ya Yanga
kukodishwa kwa miaka 10 kwa kampuni ya Yanga Yetu Ltd, taarifa zinaeleza
Ibrahim Akilimali si mwanachama wa Yanga.
Habari
za uhakika kutoka ndani ya Yanga, zinaeleza Akilimali ambaye ni katibu
wa baraza la wazee wa Yanga, si mwanachama kwa kuwa hajalipa ada kwa
zaidi ya miezi miaka sasa.
“Ni
kweli, mara ya mwisho alilipiwa na Mwenyekiti (Manji), baada ya hapo
hajawahi kulipa ada hata mara moja. Kwa mujibu wa katiba ya Yanga, yeye
si mwanachama wa Yanga,” alisema mmoja wa wapasha habari.
Juhudi
za kumsaka Akilimali zilifanyika, alipopokea simu akasema: “Nani
kakuambia, mbona mnanifuatafuata hivyo, tafadhari mniache, nisipokuwa
mwanachama, halafu?” Baada ya hapo alikata simu na ikawa haipatikani.
Akilimali
amekuwa mstari wa mbele kuweka msimamo wake kwamba Yanga isikodishwe
lakini kumekuwa na barua zinazosamabazwa mitandaoni zikionyesha
Akilimali akiweka msisitizo katika suala la Yanga kuwa kampuni.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: