
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Hitilafu ya umeme iliyotokea katika gridi ya taifa imesababisha kukatika kwa umeme katika mikoa yote inayaounganishwa na gridi hiyo kukosa umeme.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ofisi ya Uhusiano ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco), jitihada za kurejesha umeme huo kwa haraka zinaendelea.
βShirika linaomba radhi kwa usumbufu lakini jitihada za kurejesha umeme huo uliokatika saa moja asubuhi you katika mikoa iliyoathirika zinafanyika,β imesema taarifa hiyo.
Post A Comment: