
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Real Madrid imeweka wazi kwamba haitakuwa na huruma iwapo itashindwa kuidaka saini ya Harry Kane, kwani itapambana kumsajili mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford.
Awali, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez aliweka wazi kwamba yupo tayari kumsajili Kane kwa gharama yoyote na ikishindwana naye, Rashford ndiye atakuwa mbadala.
Hata hivyo, mpango wa Real Madrid kumsajili Kane unaonekana kuingia dosari baada ya klabu hiyo kuweka wazi kwamba haipo tayari kumuuza na iwapo kuna klabu, iende na Pauni 200 milioni kwenye meza ya mazungumzo.
Perez alisema kwamba klabu hiyo ikimnasa Rashford jambo hilo litapokewa kwa shangwe na mashabiki wa klabu hiyo pia mchezaji, Cristiano Ronaldo.
Post A Comment: