
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kocha wa Simba, Joseph Omog amesema anaifahamu vyema Mtibwa Sugar kuwa ni timu nzuri na ina wachezaji bora hivyo haitakuwa mechi rahisi kushinda, lakini lazima waondoke na ushindi leo.
Mechi hiyo inawakutanisha Simba na Mtibwa kwenye uwanja wa uhuru ikiwa ni siku moja baada ya mechi ya watani zao Yanga walioibuka na ushindi jana Jumamosi.
Matokeo ya Yanga ya mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar yanawapa presha Simba kucheza kufa na kupona ili kuibuka na pointi tatu zinazoweza kuwarejesha kileleni mwa msimano wa Ligi Kuu leo.
Mechi hiyo inawakutanisha Simba na Mtibwa kwenye uwanja wa uhuru ikiwa ni siku moja baada ya mechi ya watani zao Yanga walioibuka na ushindi jana Jumamosi.
Matokeo ya Yanga ya mabao 2-1 dhidi ya Kagera Sugar yanawapa presha Simba kucheza kufa na kupona ili kuibuka na pointi tatu zinazoweza kuwarejesha kileleni mwa msimano wa Ligi Kuu leo.
Post A Comment: