
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Wabunge wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wamegomea shughuli za kiapo cha wabunge wateule wa Chama cha wananchi (CUF) ili kuwaunga mkono wabunge waliovuliwa uanachama na kupoteza ubunge pamoja na kupinga bunge kutumika na serikali kukandamizi upinzani.
Wakizungumza katika viwanja vya Bunge, huku wabunge wateule wakiendelea kuapishwa ndani ya Bunge, Katibu wa Kambi rasmi ya upinzani bungeni Mhe David Silende amesema kambi rasmi ya upinzani haitawapa ushirikiano wabunge hao mpaka kesi ya msingi itakapo malizika mahakamani.
Kwa upande wake Katibu wa Bunge wa Chama cha wananchi (CUF), Juma Kombo Hamad amesema vyama vya upinzania vinadai haki itendeke katika masuala yote ya msingi na kusisitiza kinacholalamikiwa ni kufukuzwa kwa wabunge katika chama ambacho kina mgogoro haukufuata misingi ya sheria na Katiba.
Post A Comment: