
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Baada ya kuachia video ya wimbo wake wa ‘I Miss You’ ambayo iliwahi kuvuja muda mrefu kidogo, Msanii wa muziki kutoka 255 Diamond Platnum ameonesha kufurahia views wanaoitazama video hiyo mtandaoni.
Kupitia mtandao wa Instagram, Diamond ameonesha wazi wazi furaha hiyo na kuwashukuru mashabiki wake kwa kuitazama video hiyo kwa kuandika “611,054 Views within a Day and few hours….Views Laki sita na kumi ndani ya siku Moja na Masaa….. Eish! Nyie Mafans Mie Nawapenda Ujue jamani😟😢 #IMissYou,”
Hata hivyo ngoma hiyo imezidi kutikisa mtandao wa YouTube kwa kushika video namba moja inayo’trend kwa sasa huku ikiiacha mbali ngoma yake mpya ya ‘Fire’ aliyomshirikisha Tiwa Savage kutokea nchini Nigeria ambayo nayo ilitoka siku moja na ‘I Miss You’
Post A Comment: