
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
NYOTA wa muziki nchini Uganda, Bebe Cool, baada ya wiki iliyopita kuthibitisha kuwa amepata mtoto wa sita, sasa amesema watoto hao hawatoshi katika maisha yake.
Msanii huyo ambaye alifanikiwa kufunga ndoa na mpenzi wake, Zuena Kirima, kwa miaka 14 iliyopita, amesema lengo lake ni kuwa na familia kubwa na yenye furaha.
βNashukuru Mungu kwa kutuongezea ukubwa wa familia yetu, lengo la familia yetu ni kuwa kubwa na tunaamini kwa uwezo wake Mungu tutafanikiwa kama tulivyopanga.
βKwa sasa nina jumla ya watoto sita, lakini bado hawanitoshi, natamani kuwa na wengi zaidi ya hapo kwa kuwa napenda sana watoto katika maisha yangu, namuomba Mungu aniwezeshe kupata wengine wengi,β alisema Bebe Cool.
Post A Comment: