
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
KUPITIA albamu yake ya kimataifa inayoitwa A Boy From Tandale, msanii Abdul Naseeb ‘Diamond Platnumz’ amefanikiwa kumnasa na kumshirikisha mcheza ‘violin’ maarufu raia wa Israel na Marekani, Miri Ben Ari, katika wimbo wa Baila, utakaopatikana kwenye albamu hiyo.
Mrembo huyo mshindi wa tuzo kubwa ya Grammy, ambaye aliwahi kuitwa kutumbuiza Ikulu ya Marekani na Rais mstaafu Barack Obama na kufanikiwa kufanya kazi na wasanii nyota duniani kama Jay Z, Alicia Keys, Kanye West, Janet Jackson, T Pain na Twista, ameonjesha kionjo cha ufundi alioufanya kwenye wimbo wa Diamond Platnumz kupitia Instagram yake na kusema:
“Shukrani na pongezi nyingi kwa rafiki yangu mwenye vipaji vingi, Diamond Platnumz kwa albamu yako mpya, naupenda huu wimbo, Baila tumefanya pamoja na tunatazamia kuja kuutumbuiza pamoja, amani na baraka,” aliandika mrembo huyo kwa lugha ya Kiingereza.
Post A Comment: