
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Tanzania ina gesi asilia ya kujitosheleza na ya ziada na hivyo inaangalia namna ya kuiuza gesi hiyo katika soko la dunia.
Kauli
hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya udhibiti wa Nishati,
Maji na Mafuta Ewura Felix Ngamlagosi jana jijini Dar es Salaam katika
mkutano wa wadau wa sekta ya gesi uliondaliwa na mamlaka hiyo.
Ngamlagosi amesema mazungumzo yanaendelea kwa sasa kati ya serikali na wadau mbalimbali kutafuta namna bora na wapi pa kuwekeza katika viwanda vya kusindika gesi na kuipeleka katika masoko ya dunia.
Ngamlagosi amesema mazungumzo yanaendelea kwa sasa kati ya serikali na wadau mbalimbali kutafuta namna bora na wapi pa kuwekeza katika viwanda vya kusindika gesi na kuipeleka katika masoko ya dunia.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: