
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh Trilioni 1.37 mwezi
Septemba mwaka huu na kufanya fedha zilizokusanywa katika kipindi cha
miezi mitatu ya mwaka mpya wa fedha wa 2016/2017 kufikia sh trilioni
3.59.
Kayombo alisema kwa mwaka huu wa fedha TRA imeweka malengo ya kukusanya kodi sh Trilioni 15.1 kutoka katika vyanzo vyake mbalimbali ili kufanikisha malengo ya serikali katika kuhudumia wananchi.
“Mwezi Agosti tulifanikiwa kukusanya kiasi cha Sh Trilioni 1.13 hivyo mtaweza kuona ni namna gani tumevuka makusanyo ya miezi miwili iliyopita ya Julai na Agosti kwa kufikisha Sh trilioni 1.37,”alisema Kayombo.
Alisema ukusanyaji wa mapato ya serikali unaenda sambamba na kuelimisha wananchi kuhusu wajibu wao wa kulipa kodi sahihi na kwa wakati hivyo.
Wasafirishaji wa mizigo kwenda mikoani wanahimizwa kudai risiti za EFDs pindi wanaponunua bidhaa na kuwa nazo wakati wanasafirisha mizigo ili kuepuka usumbufu pale wanapohitajika kuonyesha risiti hizo.
DOWNLOAD
APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA
KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD
BONYEZA HAPA
ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
Post A Comment: