
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Katika mkutano mkuu uliofanyika usiku wa kumkia leo mjini Dodoma, Dk John Magufuli amechaguliwa kwa kura 1560 akifuatiwa na Asha-Rose Mingiro aliyepata kura 702 na Amina Salum Ali akipata kura 349.
Kutokana na matokeo ya kura hizo, Dk John Pombe Magufuli ndiye mgombea rasmi wa nafasi ya urais ndani ya chama tawala cha mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu.
Kura halali zilikuwa 2422, zilizoharibika ni sita na halali ni 2414 kwa upande wa asilimia Dk Magufuli akiwa na alama ya 2014= 87.08%.
Amina 253=10.4%
Mingiro59=2.44%.
Matokeo. Magufuri kura 1368=62percent. Amina kura 462=28peecent.asharozi 203=10percent. Magufuri kura zimetosha.
Magufuli ndio mgombea rasmi wa uraisi kwa ticket ya CCM kutoka chanzo cha wahesabu kura.
Post A Comment: