
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Ali kiba Na Diamond wote tuliwatafuta na kuwauliza juu ya Beef yao inayoendelea lakini wote wamekanisha na kudai kwamba hakuna beef yeyote inayoendela kati yao
wasanii mbalimbali hasa watanzania wameonyesha sapoti kwa kupost picha za diamond na kuwahimiza watu watu kumpigia kura kwenye tuzo za MTV , Lakini hii ni tofauti kidogo kwa msanii Ali kiba ambaye hajamuonyesha kumsapoti diamond, Ali Kiba ametoa sababu za kutomsapoti Diamond na kusema kuwa diamond hakumtumia Picha ya kupost laiti kama angemtumia angeweza kumsapoti kwani hata nilipokuwa nataka kutoa nyimbo yangu ya cheketua niliwatumia picha wasanii wenzangu nao walinisapoti.
Post A Comment: