ads
Baada ya kulitumikia Taifa kwa muda wa miaka 10, Raisi kikwete anatarajia kumaliza muda wake mwezi wa  kumi mastaa kadhaa wamemuandikia mheshimiwa raisi maneno ya kumuaga ,raisi kikwete ambaye naye ni shabiki mkubwa wa muziki wa bongo fleva
diamond ameandika kwenye ukurasa wake wa instagram>>>hakika  mhe raisi  alitukuta kulee...sasa anatuacha hapa tulipo juu zaidi...dah daima tutakukumbuka kwa mengi mema uliyotufanyia.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: