
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kamanda wa Polisi nchini, Simon Sirro amewataka wazazi ambao watoto wao hawakuhamishwa shule na hawajui mahali walipo kuripoti polisi.
Hatua hiyo inatokana na kusambaa kwa taarifa ya kupotea kwa watoto 1,300 wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani kupotea kusikojulikana.
βNi taarifa ya muda mrefu, kipindi cha mwaka jana na mwaka huu, ni zaidi ya mwaka mmoja niliipata Wizara ya Elim kule ndiyo maana nimeelekeza wazazi ambao hawawaoni watoto wao kutoa taarifa.
βMaana kama mtoto humuoni shuleni wala nyumbani si lazima uripoti,β amesema Kamanda Sirro.
Kupotea kwa watoto hao kumezua sintofahamu kutokana na wazazi wa watoto hao kutiripoti tukio hilo polisi.
Post A Comment: