
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mwili wa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Joel Nkaya Bendera aliyekutwa na mauti jana katika hospitali ya taifa Muhimbili unatarajiwa kuzikwa Jumapili katika eneo la Manundu wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.
Akizungumza nyumbani kwa marehemu Sinza jijini Dar es Salaam unapofanyika msiba, mdogo wa marehemu Allan Michael Bendera amesema taratibu za mazishi zinaendelea na mwili wa marehemu ambaye alikuwa akisumbuliwa na sukari utaagwa jumamosi katika hospitali Jeshi ya Lugalo na wadau mbalimbali saa nne asubuhi.
Wakizungumza viongozi na watu wa karibu na marehemu wamesema kuwa kifo hicho ni pigo kwa taifa kumpoteza mtu mchapakazi na mwenye kujituma ambaye siku zote alikuwa nguzo ya maendeleo katika jamii.
Marehemu Joel Bendera ameacha mke na watoto watatu na atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa alioutoa kwa serikali na jamii kwa ujumla katika idara mbalimbali alizofanyia kazi pamoja na mchango wake mkubwa katika tasnia ya michezo.
Credit - ITV
Post A Comment: