
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Katika kuhakikisha inafanya vizuri katika mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika, uongozi wa Simba umemlata mshambuliaji Mnigeria Mussalawal Ibrahim kwa ajili ya majaribio.
Mshambuliaji huyo amefanya mazoezi ya asubuhi na kikosi cha Simba Visiwani Zanzibar kinachojiandaa na mechi dhidi ya Yanga.
Akizungumza tovuti ya Mwanaspoti.co.tz, mshambuliaji Ibrahim alisema amekuja Tanzania kufanya majaribio na anaimani makocha watamuelewa na ataweza kusajiliwa na timu hiyo.
"Nimetoka kwetu Nigeria kama mchezaji huru na natambua Simba ni timu kubwa na ina wachezaji wenye uwezo na nimewaona, lakini kwa nilivyoaanza mazoezi mpaka leo, imani yangu nitakubalika," alisema Mnigeria huyo.
"Nitajitahidi kufanya mazoezi ambayo naelekezwa kwa umakini zaidi ili dirisha dogo la usajili likifika jina langu liweze kupita na kusajiliwa na Simba na naimani kama nitapata nafasi hiyo nitatumia uwezo wangu kuisaidia Simba," alisema.
Dirisha Dogo la usajili Tanzania litafungukia Novemba 15, mwaka huu ikiwa ni mechi ya tisa tu tangu kuanza kwa Ligi Kuu Bara Agosti mwaka huu.
Post A Comment: