Mbunge wa Mtama, Mhe. Nape Mosses Nauye amefunguka na kudai mtu kuwa na mawazo tofauti  au kuwa (upinzani)  siyo uadui na kutaka watu washindane kwa hoja.


Kupitia ukurasa wake wa twitter Mhe. Nauye aliweka maneno hayo akiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe Zitto Zuberi Kabwe ambaye anawakilisha Chama Cha ACT wazalendo.

"Wapinzani sio maadui, tushindane kwa hoja! Mh. Nauye.

Hata hivyo watumiaji wa mtandao huo wengi wametoa mawazo tofauti huku wengine wakimsifu Nape kwa ujasiri aliounyesha kwa kusema hayo akiwa ndani CCM na wengine wakidai kupingana kwa hoja hakuwezekani.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: