
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mbunge wa Mtama, Mhe. Nape Mosses Nauye amefunguka na kudai mtu kuwa na mawazo tofauti au kuwa (upinzani) siyo uadui na kutaka watu washindane kwa hoja.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Mhe. Nauye aliweka maneno hayo akiwa kwenye picha ya pamoja na Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe Zitto Zuberi Kabwe ambaye anawakilisha Chama Cha ACT wazalendo.
"Wapinzani sio maadui, tushindane kwa hoja! Mh. Nauye.
Hata hivyo watumiaji wa mtandao huo wengi wametoa mawazo tofauti huku wengine wakimsifu Nape kwa ujasiri aliounyesha kwa kusema hayo akiwa ndani CCM na wengine wakidai kupingana kwa hoja hakuwezekani.
Post A Comment: