
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Malkia wa filamu , Wema Sepetu, Jumanne hii amepanda tena katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu, Dar es salaam, kusikiliza kesi ya tuhuma za kutumia na kukutwa na madawa ya kulevya, ambapo upande wa Jamhuri umekamilisha upelelezi wa kesi inayomkabili msanii huyo.
Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba, ameahirisha kesi hiyo mpaka June 1, mwaka huu ambapo mahakama itasikiliza maelezo ya awali ya upelelezi huo.
Muigizaji huyo, ambaye yupo nje kwa dhamana baada kusota mahabusu kwa siku 7, anadaiwa kukutwa na msokoto wa bangi nyumbani kwake, kufuatia msako mkali wa kupambana na dawa za kulevya uliofanywa na ofisi ya mkoa wa Dar es salaam.
Post A Comment: