
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Serikali inatarajia kununua mipira ya kiume (kondomu) zitakazosambazwa nchi nzima bure, kwa lengo la kupunguza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi ifikapo 2030.
Taarifa hiyo imetolewa jana Novemba 27,2017 na Mkurugenzi wa Kinga kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Neema Rusibamaila, wakati wa uzinduzi wa mkakati wa kitaifa wa kondomu.
Amesema kuwa suala kutakuwa na mashine maalumu zitakazofungwa kwenye maeneo ya sehemu za starehe kama baa, nyumba za kulala wageni, migodini na katika kumbi za burudani.
Ameeleza kuwa takwimu zinaonyesha licha ya kuwa na ufahamu wa faida ya kondomu, idadi ya wanaotumia ni chache zaidi.
βTakwimu zinaonyesha kwamba 69% ya wanawake na 77% ya wanaume wanafahamu kwamba kondomu inaweza kuzuia VVU, lakini ni 27% tu ya watu wenye wenza zaidi ya mmoja walitumia kondomu walipofanya ngono mara ya mwisho,β amesema.
Post A Comment: