
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Aliyekuwa mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu amewashukuru Watanzania waliompongeza na kuunga mkono uamuzi wake wa kujiondoa ndani ya chama hicho.
Pia, amesema si jambo la busara kuzushiana uongo.
Nyalandu ametumia akaunti zake za kijamii za Twitter, Facebook na Instagram kutoa kauli hizo siku mbili baada ya kutangaza uamuzi wa kujivua nafsi zote ndani ya CCM ikiwemo ubunge.
Pamoja na Nyalandu kueleza hayo amefunguka zaidi kwenye mahojiano maalum na Gazeti la Mwananchi ambayo yatachapishwa kesho Alhamisi
Post A Comment: