
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mikoba ama mapochi imetokea kua kiungo muhimu sana kwenye mitindo kwa wanawake zaidi lakini pia kwa baadhi ya wanaume.
Tukisema hand bag ya kisasa ni ile inayokwenda na msimu au trend. Ipo mikoba au hand bag nyingi na za aina tofauti, ila jua vitu muhimu vya kuwa navyo wakati wa kuchagua mkoba bora, wa aina gani na wakati gani.
Kama mwanamke wa kisasa, unatakiwa uwe na mikoba mizuri na yenye kuvutia. Wingi wa mikoba katika chumba chako haimaanishi ubora. Hakikisha katika list ya mikoba ulionayo, haukosi rangi muhimu kama vile nyeusi,Brown na Nyeupe.
Kabla ya kununua mikoba hakikisha unajua bei ya mikoba hiyo na bei yako lazima ifafanie uimara, kwani kwa mikoba, uimara ndio kila kitu.
Post A Comment: