
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo linaanza leo mkutano wake wa nane mjini Dodoma limetangaza ratiba yake ya kesho kwa kuanza kuapishwa kwa wabunge saba wa Chama Cha Wananchi CUF ambao wameteuliwa na Tume ya Uchaguzi (NEC)
Kwa mujibu wa taarifa ya Bunge imesema kuwa katika bunge hilo la nane mbali ya kuapishwa kwa wabunge hao saba ambao wapo upande wa Profesa Lipumba lakini kutakuwa na miswaada mitatu ambayo inatarajiwa kusomwa.
Post A Comment: