
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimemtaka Kaimu Jaji Mkuu, Prof Ibrahim Juma kukemea hadharani shambulizi lililofanyika katika ofisi za mawakili za IMMMA.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa LHRC, Dk Hellen Kijo-Bisimba amesema tangu kutokea mlipuko usiku wa kuamkia Agosti 26, hakuna kiongozi wa Serikali ambaye amejitokeza na kukemea tukio hilo na kitendo hicho kimewatia hofu Mawakili nchini.
Alisema Kaimu Jaji Mkuu anayesimamia mhimili wa Mahakama naye amekaa kimya kama vile hakuna tukio lolote lililotokea.
Hata hivyo, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu kupitia Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda hiyo, Benedict Kitalika, jana limesema watu waliovamia ofisi hizo na kuzilipua walikuwa wamevaa sare zinazofanana na Jeshi la Polisi lakini si askari wake.
Post A Comment: