
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi 🇵🇪🇵🇪
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Mwanaume mmoja aliyetajwa kwa jina la Timothy Johnson mwenye umri wa miaka 25, anashikiliwa na Jeshi la Polisi la Florida nchini Marekani kwa kosa la kumuua mpenzi wake Judith Therianos aliyekuwa na umri wa miaka 52, na kisha kuendelea kufanya naye mapenzi kwa muda.
Taarifa zilizotolewa na Mkuu wa kitengo cha polisi cha Florida, Chris Nocco zimeeleza kuwa tukio hilo lilitokea mwezi uliopita wakati wawili hao walipokuwa wanafanya mapenzi.
Nocco aliwaeleza waandishi wa habari kuwa uchunguzi wa polisi umebaini kuwa wakati wanaendelea kufanya mapenzi, mwanamke huyo alimtaka mtuhumiwa kutoendelea na ndipo alipomuua na kisha kuendelea na zoezi hilo kwa muda.
Kwa mujibu wa Polisi, Judith hakuonekana tangu Machi 14 mwaka huu kabla ya kubainika kuwa alikuwa ameuawa baada ya mwili wake kupatikana Aprili 7.
Post A Comment: