ads

Hatimaye nyasi bandia na vifaa vingine kwa ajili ya ujenzi wa Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza vimewasili huku ujenzi huo ukitarajia kuanza rasmi leo, Jumatatu.


Mwenyekiti wa Chama Soka cha Mkoa wa Mwanza (MZFA), Jackson Songora alithibitisha kuwasili kwa makontena mawili yenye vifaa hivyo vilivyowasili juzi, Jumamosi.

 Songora alisema kuwa vifaa vilivyowasili ni pamoja na nyasi bandia, magoli makubwa na madogo, gundi, trekta (kifaa cha kusafishia uwanja), nyavu na uzio.

Alisema kuwa tayari mkandarasi amemthibitishia ujenzi kuanza rasmi Jumatatu na kwamba anaamini ujenzi huo utakamilika kwa muda mwafaka.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: