ads

UHURU Kenyatta, Rais wa Kenya amesema, serikali yake imetenga Dola za Marekani 10 milioni kwa ajili ya kusaidia wakulima wa zao la mirungi.


    Akizungumza wakati wa kusaini mswada wa kulitambua zao hilo kisheria ili kukuza pato la Kenya amesema, fedha hizo zitatolewa na Wizara ya Kilimo na kwamba zitatumika kuweka mikakati ya kuzalisha na kusambaza zao hilo.

Kenyatta amefikia uamuzi huo kutokana na kilimo cha zao hilo kudorora kufuatia Ulaya kupiga marufuku uuzwaji wa mirungi katika mataifa yao.

Pia kiongozi huyo amesema, ataunda jopo maalumu la kuangazia changamoto katika sekta ya ukuzaji wa mirungi ambayo itatoa mapendekezo kwa serikali na hatimaye kuchukua hatua.


DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA

ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: