ads

Mufti Mkuu, Sheikh Abubakar Zubeir amesema mwezi haujaonekana leo hivyo amewasihi waislamu kote nchini waendelee na mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani kutimiza siku 30 kama ilivyoekelezwa katika Quran.


Amesema kuwa kutokana na mwezi kutoonekana hapo jana, sikukuu ya Eid El Fitr itakuwa Jumatatu ya tarehe 26 mwezi Juni 2017.
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: