ads

Kama inavyoonekana kwenye picha kalamu nyingi za aina ya BIC huwa kifuniko chake kimetobolewa, sasa unafahamu ni kwa nini?


Kama haufahamu sababu ni kwamba kuna watu ambao hutafuna hivi vifuniko sasa kama ikitokea bahati mbaya ukakibugia na kukwama kooni basi itakusadia kuendelea kupumua kwa kutumia hilo tundu juu ya kifuniko na hivyo kuokoa masiha yako!

Hiyo ndiyo sababu kama ulishawahi kujiuliza swali kwanini kuna shimo kwenye kifuniko?
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: