ads

Modo, Muigizaji na Mwanamuziki Jokate Mwegelo ameudhihirishia Umma Penzi lake na Star wa Bongo Flava Ali Kiba.


Mpaka jana mchana Mashabiki walikuwa wakisubiria nini ambacho Mrembo huyo ataandika juu ya siku ya kuzaliwa ya Laazizi wake Ali Kiba.

Jokate ametumia lugha ya Kifaransa kuandika hisia zake kwa Kiba, huku akionesha ni jinsi gani ‘amezama’ kwenye Huba na hit maker huyo wa Aje.

“Baby happy birthday I love you so much,it is paining,I hope that the French has sang you prepare for that, but I want nothing,but the best for you from the bottom of my heart the rest I leave to God for what happens to know that Jojo doesn’t disturb and that am happy to have you as my friend,rest blessed” ameandika.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: