ads

Mzee Ibrahim Akilimali amesema wazee wote wa timu hiyo wanamkubali Lwandamina na wanachohitaji kuona kwake ni kufanya vizuri katika mashindano ya kimataifa.


Akilimali alisema timu yao imecheza mechi nyingi za kimataifa misimu miwili iliyopita, lakini walikuwa hawafiki mbali zaidi kama wanavyotarajia.

“Ukweli bila ya kuficha, wazee wote wa Yanga nikiwamo mimi mwenyewe hatuna shaka na ujio wa Lwandamina na tuna matumani makubwa kuwa ataleta kitu katika kikosi chetu ambacho tunatamani kuona kinafanya vizuri zaidi kimataifa.”
DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: