ads

Bondia Thomas Mashali (pichani) amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kuuwawa na watu wasiojulikana Kimara, Dar es Salaam.


Mwili wa Bondia huyo umeifadhiwa hospitali ya Taifa Muhimbili huku taratibu za mazishi zikiendelea nyumbani kwake Kwa Mtogole, Dar es Salaam.

Mmoja wa wanafamilia wa Bondia huyo, ambaye hakutaka kuandikwa alithibitisha kutokea kwa kifo cha Bondia huyo.

Mapema jana, Mashali alishiriki kwenye kongamano la ngumi na kuchangia mada ya mabondia kunyanyaswa na mapromota kwenye mapambano.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: