ads

Wabunge wa Chadema ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamefanya uchaguzi wa wajumbe watano wa Kamati Kuu ya chama hicho.


Katika Uchaguzi huo uliofanyika Jumapili Oktoba 30, mwaka huu, waliochaguliwa kuwawakilisha kundi la wabunge ndani ya chombo hicho cha maamuzi

1. Tundu Antipas Lissu

2. Godblesss Jonathan Lema

3. Joseph Osmund Mbilinyi

4. Ester Amos Bulaya.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: