ads

Muda mchache baada ya Rais Magufuli kutoa kauli akiwa Singida kuwa walioshinda tu ndio wafanye siasa kwenye maeneo yao ili wasiingie kwenye majimbo mengine,


Lissu ameweka wazi kuwa Magufuli anavunja umoja wa kitaifa.

Lissu alihoji kauli ya kwamba Chadema ni marufuku kufanya siasa ilikoshinda CCM na kinyume chake ndiko ulikofikia uwezo wa Rais wetu wa kufikiri.?

Aliongeza kwamba, ni hawa ndio wanaohubiri umoja wa kitaifa kila kukicha?

Lissu aliweka bayana kuwa anachoweza kujidai nacho Magufuli sio nguvu ya hoja yake bali ni nguvu ya vyombo vya mabavu anavyodhibiti.

DOWNLOAD APP YETU YA SWAHIBA NEWS ILI UWEZE KUPATA HABARI ZOTE MOJA KWA MOJA KUPITIA SIMU YAKO YA MKONONI BILA KUINGIA KWENYE WEBSITE,KUDOWNLOAD BONYEZA HAPA  

ANDIKA MAONI YAKO HAPO CHINI
ads
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya SWAHILI NEWS kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
Share To:

SWAHIBA MEDIA STAFF

Habari , karibu katika mtandao wetu ili kuhabarika na stori zote za siku katika lugha yetu adhwim ya kiswahili, habarika wakati wote weka dunia kiganjani mwako na swahili news

Post A Comment: