
Subscribe ndio neno gumu zaidi kwa wabongo kuliko kutafuna jiwe kama ilivyo kwa Waingereza kutamka Mwanjelwa..husema Monjela
Pamoja na vionjo hivyo..kwenye Simba Day ya mwaka huu ntakuja na style tofauti ya kutambulisha wachezaji...njoo ushuhudie mwenyew..usingoje kuhadithiwa ni Jtano hii pale dimba la Taifa... #SimbaDay #KibingwaZaidi π΅πͺπ΅πͺ
Serikali yatoa tamko kuadimika mafuta ya kula nchini
Waziri Kigwangalla atetea ununuzi wa ndege
Zitto Kabwe amshauri Job Ndugai
Bunge lataka tende zifutwe kodi mfungo wa Ramadhani
Mo Dewji afunguka jinsi anavyopiga pesa kupitia kilimo
Washambuliaji wa Yanga, Emmanuel Martin na Godfrey Mwashiuya,wamekuwa wakilalamikiwa na mashabiki wao, kutokana na kukosa mabao ya wazi baada ya kocha kuwatumia badala Amissi Tambwe na Donald Ngoma ambao ni majerahi.
Mwashiuya na Martin, walikosa nafasi za wazi baada ya Yanga, kucheza na watani wao wa jadi Simba, mchezo uliyomalizika kwa sare ya bao 1-1, Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
"Bado ligi inaendelea naamini nitafunga mashabiki wangu watanielewa kwa sasa ni ngumu kujua ni changamoto inayoweza kumpata mchezaji yoyote katika mpira wa miguu,"alisema.
"Kwanza makipa wa Yanga ni bora zaidi ila ukizungumzia upinzani basi Manula kwa kipindi hiki yupo vizuri, anastahili sifa hiyo,"aliongeza mchezaji huyo.
Lakini katibu wa zamani wa timu hiyo, Lawrence Mwalusako aliwataka Mwashiuya, Martin pamoja na Juma Mahadhi, kuonyesha uwezo kutokana na umri wao.
"Unaposema vijana maana yake damu zao zinachemka, waongezee bidii, wasichukulie kawaida nafasi wanayopewa na kocha, wajue usajili upo,hivyo uwezo wao ndiyo utakuwa kinga ya kubaki kwenye timu,"alisema.
Post A Comment: